Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya Stanbic, Abdallah Singano (kulia) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 3 kwa Mkurugenzi wa Kituo cha Watoto Waathirika na VVU cha Tanzania Mitindo House (TMH), Bi Khadija Mwanamboka (kushoto) ikiwa ni msaada kwa kituo hicho kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali wakati maofisa wa benki hiyo walipotembelea kituo hicho Magomeni, Dar es Salaam jana. Wakishuhudia ni baadhi ya watoto wa TMH.



Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano wa Benki ya Stanbic, Abdallah Singano (kulia) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 3 kwa Mkurugenzi wa Kituo cha Watoto Waathirika na VVU cha Tanzania Mitindo House (TMH), Bi Khadija Mwanamboka (kushoto) ikiwa ni msaada kwa kituo hicho kwa ajili ya kukabiliana na changamoto mbalimbali wakati maofisa wa benki hiyo walipotembelea kituo hicho Magomeni, Dar es Salaam jana. Akipokea kwa niaba ya wenzake ni mmoja wa watoto wa TMH, Rebecca Francis.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Bwana Singano mbona mnatoa pesa kidogo hivyo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...