Uongozi wa muda wa umoja wa wanantebela kutoka wilaya ya Kyela unakukaribisha mwana ntebela kwenye kikao cha umoja.

Mahali: Urafiki Social Hall
Siku: Jumapili (04/ 03/ 2012)
Muda: Saa Tisa alasiri (9:00)

Upatapo ujumbe huu tafadhari mtaarifu na mwenzako.
Kwa mawasiliano :
Ipyana: 0787232292
Itika: 0655957777
Gwakisa: 0784477510

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...