Marehemu Leticia Daudi Lusala (Mama Lusala)

Familia ya Bwana H.C. Lusala wa Sinza A,Jijini Dar es Salaam inapenda kuwakaribisha ndugu jamaa na marafiki kwenye arobaini ya Marehemu Leticia Daudi Lusala (Mama Lusala) aliyetuacha tarehe 23 January mwaka huu. 

Arobaini itafanyika nyumbani kwa familia Sinza A kwa mkesha 09 March 2012 na kufatiwa na misa itakayofanyika saa 2:30 asubuhi ya tarehe 10 March, 2012 katika kanisa katoliki Parokia ya Sinza. 

Mama Lusala alipenda watu na hii itakua shughuli ya wapenzi wake kumtakia safari njema na mapumziko mema. Mungu ni mwenye Heri na mwenye Huruma tele.

- Amina

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tunakupenda mama lakini Mungu anakupenda zaidi; Rest in Peace mama...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...