Meya wa Manispaa ya Mkoa wa Tabora, Dewji Gulamu (kulia) akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia ya Balimi Extra Lager uliofanyika katika Hoteli ya Frnkman Tabora.Kulia ni Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa na Meneja Mauzo wa Mkoa, Robert Michael.
Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa, akizungumza wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia hiyo uliofanyika katika Hoteli ya Frankman Tabora.
Muimbaji wa Bendi ya Frankman, Fatuma Msabuni akiimba sambamba na wacheza shoo wakati wa uzinduzi wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Tabora.
Wacheza shoo wa Kampuni ya Promosheni ya Intergreted wakicheza wakati wa uzinduzi wa Bia ya Balimi Extra Lager Mkoani Tabora.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...