Mtoto wa jamii ya wafugaji wa kabila la Kimasai mkazi wa kitongoji cha Makuture, Dakawa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro ambaye jina lake halikufahamika akinyonya maziwa ya ng’ombe kwa kutumia kibuyu huku akiwa amelala miguuni mwa mama yake. (Picha na John Nditi).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...