Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. lazima nije kumuona malkia wa nyimbo za injili

    ReplyDelete
  2. Pastor Deo ni Mwalimu mzuri sana wa Neno la Mungu

    ReplyDelete
  3. sasa JK anafanya nini hapo? Kwani nae atakuwepo au ndo kumgeuza tangazo!

    ReplyDelete
  4. Na Kikwete nae atakuwepo siku hiyo?

    ReplyDelete
  5. Eleweni Wadau Anonymous wa Sat Mar 17, 06:16:00 PM 2012 na Anomous wa Mon Mar 19, 04:35:00 PM 2012.

    JK ni Kiongozi wa watu wa Dini zote, pia Pastor Deo ni miongoni mwa Viongozi wachache wa Kidini wanaotufaa nchini Tanzania kwa kuwa na busara za hali ya juu na kutambua umuhimu wa Viongozi wa Kitaifa ktk masuala ya Uamsho wa Kiimani na Uzalendo !

    ReplyDelete
  6. Wewe wa tatu 3 hapo juu usietaka Pastor Deo amuweke JK ulitaka awekwe Dr. Slaa?

    JK ni Kiongozi wa watu wote nchini wakiwemo Wakristo, Waislamu, watu wa Dini zingine zote na Wasio na Dini kabisaaa!

    Swali lako ni la kipumbavu sana na linaashiria Utenganishi na Uchochezi!

    Ninyi ndio Watu wachache wa Tanzania wabaya wakuogopwa na hatari sana ! Wachochezi wa mgawanyiko miongoni mwetu kwa Misingi ya Udini.

    Sasa wewe na Pasor Deo nani anaelewa Dini zaidi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...