Beki wa timu ya Dira, Makubuli Ally (kushoto) akijaribu kuwazuia wachezaji wa IPP, wakati wa Bonanza la waandishi wa habari (Media Day) lililofanyika Msasani Beach jijini Dar es Salaam leo. Bonanza hilo limeandaliwa na TASWA na kudhaminiwa na TBL. Dira ilishinda 3-1.
Mchezaji wa Kick Boxing wa timu ya Free Media, Agness Yamo, akipambana na mchezaji wa TSN, Adam Amon wakati wa Bonanza la waandishi wa habari (Media Day) lililofanyika Msasani Beach jijini Dar es Salaam leo, na kudhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Agnes Yamo alishinda kwa Pointi.
Waandishi wa Habari toka vyombo mbali mbali nchini wakiwa kwenye Bonanza hilo la waandishi wa habari (Media Day) lililofanyika Msasani Beach jijini Dar es Salaam leo, na kudhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL).Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Du huyo mama hapo juu naona teke lake amelenga pabaya kweli. kila nikiangalia damu zinasisimka.

    ReplyDelete
  2. Ahhh Shangazi upigaji wako upo nje ya kanuni za Mchezo ni vile kuna mipaka ya maeneo ya kupiga,,,zaidi ya hapo ni kuelekea kutoana kizazi na kuingizana kwenye Utasa!

    ReplyDelete
  3. Mnhhh baada ya kuchapwa teke la namna hiyo, 'chakula cha usiku' kitakuwa hakipandi kabisa !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...