Mwakilishi wa Kampuni ya Cargostars Limited, Viola Lema, akipokea cheti cha Ubora katika shughuli za Huduma bora kwa wateja kutoka kwa Rais wa Kampuni iliyoandaa tuzo hizo, Charles Tabet.
Viola Lema (katikati) na Lulu Komanya wa Kampuni ya Cargostars, wakipokea tuzo hiyo kwaniaba ya kampuni yao kutoka kwa Rais wa Kampuni iliyoandaa tuzo hizo, Charles Tabet. .
Mwakilishi wa Kampuni ya Cargostars Limited, Viola Lema, akitoa maelezo mafupi kuhusu kampuni yao hiyo wakati wa hafla hiyo.
Baadhi ya waliotunukiwa vyeti hivyo, wakionesha vyeti vyao.
Washiriki kutoka Tanzania, Kenya na Poland, wakiwa na Rais wa Kampuni iliyoandaa tuzo hizo, Charles Tabet (wa tatu kushoto) pamoja na tuzo zao.







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...