Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Uwezeshaji wa Ujenzi nchini,uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serenna jijini Dar ea Salaam.Kulia ni Mwenyekiti wa Mfuko wa Sekta Binafsi nchini,Bi. Ester Mkwizu.
Mwenyekiti wa Mfuko wa Sekta Binafsi nchini,Bi. Ester Mkwizu akifafanua jambo kwa waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Uwezeshaji wa Ujenzi nchini nchini uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serenna jijini Dar ea Salaam.
Baadhi ya Wadau wa Sekta ya Ujenzi nchini wakiwa kwenye Mkutano huo uliofanyika leo kwenye hoteli ya Serenna jijini Dar ea Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...