Wanahabari wakimsubiri Naibu Waziri wa Ujenzi Dkt Harrison Mwakyembe alipoti kazini kwake mtaa wa Samora Avenue jijini Dar es salaam baada ya kupata nafuu kutokana na maradhi ya ngozi yaliyomkuba miezi kadhaa iliyopita
 Dkt Mwakyembe akiwasili kazini leo
 Dkt Mwakyembe akiingia ofisini kwake
 anawsili ofisini
Dkt Mwakyembe akiongea na wanahabari baada ya kuripoti kazini. Amewasihi kuwa mjadala wa matatizo yake ya kiafya sasa umefungwa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Sawa Mhe. amepata nafuu na amerejea Ofisini kwake, lakini je pana uhakika gani kama hayatatokea tena yaliyomtokea hapo kabla?

    ReplyDelete
  2. Pole kwa matatizo Mhe. Natumaini watu wenye busara watakuelewa: tuendelee mbele tuache ujinga wa kutafuta mchawi. Uwe mwangalifu lakini chapa kazi kama kawaida yako na mafisadi hawatakuweza : Kamam Mungu akiwa juu yet ni nani atakayemshinda!.

    ReplyDelete
  3. Yaliyojiri ni ufafanuzi tosha jinsi Mafisadi walivyokuwa na nguvu nchini!

    ReplyDelete
  4. Mungu akujalie afya njema, akuridishe katika afya, akili na kipaji zaidi ya mwanzo, ututee sisi Watanzania wanyonge tunaoonewa kwa mali zetu wenyewe. Amen
    Mungu ibariki Tanzania.

    ReplyDelete
  5. Ndiyo maana napenda bongo... mwanamme mzima kabeba simu ya pinki. Duh...

    ReplyDelete
  6. Pole Mhe. Mwakyembe!

    Ila watu wabaya wamekuzeesha kwa miaka 20 zaidi ya Umri wako halisi, ina maana hivi ulivyokuwa baada ya kupatwa na mkasa huu ulitakiwa ndio uwe hivyo miaka 20 ijayo!

    Mungu ni Mwema atakulinda!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...