Home
Unlabelled
hivi utaratibu wa kuwasafirisha wanyama hawa ukoje??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
sasa huyu anwapeleka wapi wenziwe katika hali kama hiyo wakichupa ?
ReplyDeleteAcha kuchekesha watu, toka lini Tanzania kukawa na utaratibu? Sie tunaishi dunia ya tatu tumezoea shida mpaka na wanyama wetu pia wanatunzwa kihivyo kwa hiyo msijiulize maswali yasiyojibika.
ReplyDeleteUnajua hapa barazani kuna tabia za kutafutana undani! Sasa swali linaulizwa hapa?utaratibu wa kuwasafirisha wanyama hawa ukoje? JIBU ANALO DREVA NA SI MWINGINE NI MJENGWA,au Buti Jiwe,
ReplyDeleteGari hili linaonyesha wazi kabisa linakwenda kwa watani zetu Iringa na Pasaka ndio hiyo ipo mlangoni
Wana helmeti za midomoni kusaidia wasishambulie watu wakati wanasafirishwa.
ReplyDeleteHivi hawa nao wanapatikana machinjio ya vingunguti?
ReplyDeleteHuyo jamaa atakuwa ni wakutoka Iringa a.k.a kamwene (Mnyalu).
ReplyDeleteKazi kweli kweliii....!!!!!
Huyo jamaa ni mhehe nini?
ReplyDeleteHawa wanapatikana machinjio ya Iringa. Na hapa mboga ya pasaka imepakiwa kupelekwa Iringa.
ReplyDeleteHamna uraratibu wowote Bongo. Ni bora liende tu.....
ReplyDeleteHAO MBWA HAWANA MENO JAMANI MSIOGOPE USWAZI TUNAWAPA MAJINA KAMA BOBBY WENGINE MALIZIENI. SHIKA SHIKA SHIKA UNASAKIZIA HAPO.
ReplyDeleteWalitakiwa kuwa na 'Vifuniko vya Midomo' ndio taratibu za Polisi kwa Ulinzi wa kutumia mbwa wakati wakipelekwa Lindoni.
ReplyDeleteSasa hapo mfano pana foleni gari zimeshikana na wewe mpita kwa miguu ukikatiza ubavuni mwa Pick up imekula kwako breki ya kwanza polisi kupata PF-3 halafu Hospitali kushonwa nyuzi!
Kwa picha inavyoonyesha hao mbwa watiifu mno, wala haina haja ya kuwabana na wao wasi-enjoy usafiri.
ReplyDeleteMwenye hao majibwa inaelekea ana iksipiriansi nao sana, mimi namshauri afungue kituo cha mafunzo ya majibwa!!
KUna trafiki mmoja dar es salaam pale salenda aling'antwa akiongoza magari. Cheo chake cha ukoplo ndicho kilichoanza kung'atwa. Kesi ikapelekwa mahakamani. Aliumizwa. Sijui uamuzi wa kesi ulikuwa vipi.
ReplyDeleteMdau