Mshambuliaji wa timu ya soka ya Free Media, Saleh Mohamed akitafuta mbinu za kumtoka mchezaji wa Jambo Leo, Julius Kihampa katika kombe la NSSF Cup 2012 uwanja wa TCC Chang'ombe jijini Dar. Jambo leo ilishinda bao 8-1
 Mshambuliaji wa Jambo Leo, Juma Pinto akichuana na beki wa Free Media, Festo Mswima wakati wa mchezo wa kombe la NSSF Cup 2012. 

Mchezaji Martin Malela wa Free Media, akishangilia bao la kufutia machozi  alilofunga dhidi ya magoli 8 waliyofungwa na Jambo Leo. 


Mfungaji wa timu ya Netiboli ya NSSF (GS), Sia Mawole akitafuta mbinu za kumtoka mlinzi wa IPP (GK), Fatuma Yusufu wakati wa mchuano wao wa kombe la NSSF Cup 2012.  NSSF ilishinda kwa bao 20-4.
Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...