Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. huu ni mkwara jike sio dume. lugha iliyotumika sio kali wala haioneshi kuwa atakayeharibu rasilimali atakiona cha mtema kuni. inaonesha kama vile unashauriwa tu kuwa MZALENDO.

    ReplyDelete
  2. hakuna utamaduniwa kuheshimu sheria ndio maana porojo tu.
    sheria zipo, na adhabu kali zitolewe kwa wavunjaji, ndio dawa. ka ulaya hakuna kubembelezana, mtu akivunja sheria atajuta mwenyewe.
    sisi tunadekezana ndo maana maendeleo duni.

    ReplyDelete
  3. Hivi Kamera zilizowekwa Umanjani hapo zina kazi gani?

    Cha muhimu ni kuzitumia Kamera hizo kwa kuwapata wajinga hao na kuwafikisha ktk Sheria!

    ReplyDelete
  4. heri mimi sijasema

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...