Mgombea ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari akiagana na wananchiwa mji wa Kikatiti mara baada ya mkutano wake wa kampeni leo

Mgombea ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari akiwaaga wananchi wa mji wa Kikatiti baada ya kumaliza mkutanowake wa kampeni leo. 
 Mgombea ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari na Meneja kampeni wake, Vincent Nyerere, wakiwapungia mikono wananchi wa mji wa Kikatiti, mara baada ya mkutano wa kampeni leo
Mgombea ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Vumilia wakati wa ibada ya mazishi ya  mama huyo katika jimbo hilo leo. Picha na mdau Joseph Senga 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mtu wa watu. Actions speak louder than words!

    ReplyDelete
  2. mmmhhhh...

    ReplyDelete
  3. Joshua Nasari:

    Hivi yeye ni Padri au Mtumishi wa Kanisa?

    Mbona anaelekea kuegemea Dini moja tu wakati Arumeru Mashariki ina watu wa Itikadi tofauti za Kisiasa pia ina watu wa Dini zote wakiwemo wasio na Dini kabisaaa!!!

    ReplyDelete
  4. Mgombea wa Chadema J. Nassari unataka kutueleza ya kuwa Arumeru Mashariki ni eneo la Wakristo pekee?

    Ni mara zaidi ya moja umeonekana ktk shughuli za Kikristo tu Arumeru mbona Katibu Mkuu wa chama chako Taifa Dr. Slaa alihudhuria Sherehe za Maulid ya Waislamu Kinondoni mwezi ulipoita?

    Hiyo ndio Siasa ya usawa na haki?

    Au hutaki kura zetu Waislamu Arumeru Mashariki?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...