Wafanyakazi wa kampuni ya uchimbaji wa visima ya Mirisho Water Well Drilling wakifanya kazi ya kusafisha maji kutoka ardhini kazi ya uchimbaji kisima juzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro kumalizika. Kisima hicho kilichofadhiliwa na Kampuni Bia Tanzania (TBL) kitasaidia kupunguza tatizo la uhaba wa maji katika hiyo.
Home
Unlabelled
UCHIMBAJI KISIMA HOSPITALI YA MOROGORO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...