Wafanyakazi wa kampuni ya uchimbaji wa visima ya Mirisho Water Well Drilling wakifanya kazi ya kusafisha maji kutoka ardhini kazi ya uchimbaji kisima juzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro kumalizika. Kisima hicho kilichofadhiliwa na Kampuni Bia Tanzania (TBL) kitasaidia kupunguza tatizo la uhaba wa maji katika hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...