KATIBU Mkuu ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais, Dk. Omar Dadi Shajak akionesha ripoti ya utafiti wa hali ya utendaji wa Vyombo vya Utangazaji vya Umma Zanzibar muda mfupi baada ya kuizindua ripoti hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani,kulia Meneja wa Baraza la Habari Tanzania Ofisi ya Zanzibar, Suleiman Seif
KATIBU Mkuu Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais, Dk. Omar Dadi Shajak akizinduwa Ripoti ya Utafiti wa Hali ya Utendaji wa Vyombo vya Utangazaji vya Umma Zanzibar, uzinduzi huo umefanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani.Picha na Haroub Hussein

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...