Mheshimiwa Celina Kombani, Mheshimiwa Angellah Jasmine Kairuki, Mheshimiwa  Zainab Kawawa, Mheshimiwa Margareth Sitta, Mama Nortburga Masikini, Siham Ahmed, Mama Asia Kapoli na washiriki wengine wa Kongamano hilo la Wafanyakazi Wanawake
 Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Celina Kombani akifungua Kongamano la Wafanyakazi Wanawake lililofanyika  katika Ukumbi  wa Blue Pearl, Ubungo Plaza, Dar es Salaam
 Wabunge wa Viti Maalum wanaowakilisha Vyama vya Wafanyakazi- Mheshimiwa Angellah Jasmine Kairuki (kati) na Mheshimiwa Zainab Kawawa (kulia)
Picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa kongamano hilo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...