Mheshimiwa Celina Kombani, Mheshimiwa Angellah Jasmine Kairuki, Mheshimiwa Zainab Kawawa, Mheshimiwa Margareth Sitta, Mama Nortburga Masikini, Siham Ahmed, Mama Asia Kapoli na washiriki wengine wa Kongamano hilo la Wafanyakazi Wanawake
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe Celina Kombani akifungua Kongamano la Wafanyakazi Wanawake lililofanyika katika Ukumbi wa Blue Pearl, Ubungo Plaza, Dar es Salaam
Wabunge wa Viti Maalum wanaowakilisha Vyama vya Wafanyakazi- Mheshimiwa Angellah Jasmine Kairuki (kati) na Mheshimiwa Zainab Kawawa (kulia)
Picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa kongamano hilo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...