Wafanyakazi mbalimbali wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo,wakimsikiliza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shairif Hamadi alipokutana nao na kuzungumza nao kuhusiana na masuala mazima ya Utendaji wa Kazi zao na matatizo wanayokumbana nayo,hapo katika ukumbi wa Salama Holl Bwawani Zanzibar,hii ni baada ya kumaliza kwa Ziara yake ya Kuzitembelea Idara mbalimbali za Wizara hio.
 Wafanyakazi mbalimbali wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo,wakimsikiliza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shairif Hamadi alipokutana nao
 Mfanyakazi wa Kamisheni yaMichezo na  Utamaduni Othman Mohd (Makombora)akifafanua jambo katika Mkutano wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Wafanyakazi wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo,uliofanyika hapo katika ukumbi wa Salama Holl Bwawani Mjini Zanzibar.
 Mfanyakazi wa Kamisheni ya Michezo na  Utamaduni Fatma Issa Juma akifafanua jambo katika Mkutano wa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Wafanyakazi wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo,uliofanyika hapo katika ukumbi wa Salama Holl Bwawani Mjini Zanzibar
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamadi akifafanua jambo katika mkutano wake na Wafanyakazi wa Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo alipokutana nao na kuzungumza nao kuhusiana na masuala mazima ya Utendaji wa Kazi zao na matatizo wanayokumbana nayo,hapo katika ukumbi wa Salama Holl Bwawani Zanzibar,hii ni baada ya kumaliza kwa Ziara yake ya Kuzitembelea Idara mbalimbali za Wizara hio.Kushoto yake ni Waziri wa Habari Umaduni Utalii na Michezo Zanzibar Abdillah Jihad Hassan. 
PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI ALI MAELEZO ZANZIBAR 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Unguja acheni masihara, yaani mfanyakazi wa wizara anavaa makatambuga ya choo kwenye mkutano. Je, mkutano ulifanyika baada ya kazi, au muda wa kazi? Guys, be serious!

    ReplyDelete
  2. mdau wa kwanza una point nzuri lakini wakati huo huo kumbuka kuwa wenzenu sisi hali zetu ni mbaya kimshahara. Hatuni sababu yaaki kudanganya kwa kuvaa uzuri ilhali ukweli ni kuwa mifuko imetoboka.
    Ni vizuri tuvae kanda mbili na nguo zilizochaa ili viongozi waone na kujua ukweli kuwa mishahara yetu ni midogo na tunastahili kuwa katika mfumo sawa na wa tanzania bara, angalau hapo tutaweza nasi kununua buti za seconda hand.

    ReplyDelete
  3. Kama anaumwa miguu na daktari wake amemwambia avae makubazi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...