Mwanadada ambaye jina lake halikufahamika mara moja ambaye anajishughulisha na biashara ya uuzaji wa mboga mboga katika soko kuu la jijini Arusha akiwa katika maandalizi ya biashara yake hiyo kama alivyokutwa na kamera man wa Globu ya Jamii,sokoni hapo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Kaka michuzi na wadau wote wa hii blog yaani hakuna kitu kinaniudhi kama tabia ya wanawake wa Arusha na sasa imeendea sehemu nyingi nchini eti anaenda sokoni kununua mboga za majani au ndizi za kupika hataki kutayarisha mwenyewe, mboga inakatiwa sokoni, ndizi zinamenyewa sokoni... hii ni tabia chafu sana sio kwenda na wakati.

    ReplyDelete
  2. waache wale makonokono maana sidhani kama zinaoshwa vizuri. Wanawake siku hizi tumekuwa wavivu sana madai yetu tuko busy sijui busy na afya za familia zetu kama vinalingana. Akina ebu tuache hizo tujali jukumu tulilopewa na Mungu la kutunza familia na tuhakikishe afya zao ni nzuri na wanakula chakula safi na bora.
    Mdau Mwanamke mkereketwa

    ReplyDelete
  3. hapo moshi wa magari na mavumbi ni hatari kwa afya za wafanyabiashara na walaji.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...