Rais na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Benjamin Mkapa (kushoto) akiwa kwenye chumba cha kufikia kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) baada ya kupokewa na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kushoto) leo asubuhi. Wa pili kulia ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Safi sana! Sisi wana-Arumeru tunakukaribisha kwetu na kwako Mheshimiwa Benjamin Mkapa. Tuko pamoja na CCM na Ndugu Sioi Sumari. CCM imara daima!

    ReplyDelete
  2. Haya Mzee wa Kazi Ben na 'Jembe' Nape !

    Kilichobaki ni kumkabidhi Mbunge Arumeru Mashariki JEMBE na NYUNDO mkononi aanze kuivinja Chadema vipande vipande !

    ReplyDelete
  3. Haya kumekuchaaaaa!!!

    Wanaumeee ,eeeehh ,Wanaumeeee enhhh,!!!!

    Kilichobaki kwa CDM ni kuchukua Mikopo yao SACCOS tayari kurudi ktk Miradi yao ya kuendesha Ma Bar na Pubs,,,,!!!!

    ReplyDelete
  4. Nyie waandishi tafadhalini na maelezo yenu,Rais mstaafu Benjamin Mkapa yuko kulia na sio kushoto!...ni vema ukaeleza kuwa yuko kushoto kwa mwandishi,mpiga picha au msomaji???kuweni makini!!

    ReplyDelete
  5. Walau Ben angejua anakwenda kwenye Safari ya Kifo na Aibu kubwa angejirudia kwake !

    Hapa ilikuwa Ijumaa wakati KIFO CHA CCM kinatokea Jumapili.

    Ni vile daima ni vigumu kujua yajayo !

    ReplyDelete
  6. Hapa ilikuwa siku mbili kabla na 'mnemba' wa Alama ya V kuzama kimiani !

    CCM Chaliiiiii........!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...