| Mgeni rasmi katibu tawala wa wilaya Rungwe Moses Mmdede akifungua mkutano huo wa mwaka wa wakulima wadogo wa chai kushoto ni mwenyekiti wa chama hicho Bwana Jonson Mwakasege |
| Mkurugenzi wa chama cha wakulima wadogo wa chai Bwana Leby Hadson akisoma taarifa ya mwaka katika mkutano huo |
| Mhasibu wa chama hicho Bwana Juma Liganga akitoa taarifa ya mapato na matumizi ya mwaka katika mkutano huo |
| Baadhi ya wanachama wa chama cha wakulima wadogo wa chai wakimsikiliza mgeni rasmi |
| Hii ndiyo bodi ya chama cha wakulima wadogo wa chai Rungwe |
| Mkutano unaendelea. Picha na Mbeya Yetu Blog |


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...