Bwana Kaka,
Tuendelee na muendelezo wa kujua jinsi bendi kongwe na studio za zamani walivyoweza kutayarisha na kutoa vibao vya muziki wenye vyombo vilivyopangika kila idara na ujumbe mzito kabisa, tusikilize Maalim Ngurumo na wenzie wa Nuta Jazz band - "Mpenzi nakukanya":
Home
Unlabelled
nuta jazz band - Mpenzi ninakukanya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...