Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,Vuai Ali Vuai,wakati wa sherehe za uwekaji wa Jiwe la msingi la Maskani ya Ari Mpya,kasi Mpya na Nguvu Mpya huko kijiji cha Kama Bondeni Wilaya ya Magharibi leo,katika ziara maalum ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akimkabidhi kadi ya CCM,UWT Riziki Khamis Abdalla,akiwa ni miongoni mwa wanachama waliokabidhiwa kadi za CCM,baada ya kujiunga na chama hicho,wakati wa sherehe za uwekaji wa Jiwe la msingi la Maskani ya Ari Mpya,kasi Mpya na Nguvu Mpya huko kijiji cha Kama Bondeni Wilaya ya Magharibi leo,katika ziara maalum ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi.
Msoma Utenzi katika sherehe za Uwekaji wa jiwe la msingi Maskani ya Ari Mpya ,Kasi Mpya na Mpya,Farida Rajab,akihani utenzi wake uliotoa burudani ndani yake,baada ya Mjumbne wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein,kuweka jiwe la msingi Maskani hiyo huko Kijiji cha Kama Bondeni leo akiwa katika ziara ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Magharibi.
Wanachama wapya wa Chama cha Mapinduzi CCM,wakila kiapo baada ya kukabidhiwa kadi za Chama hicho na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,wakati wa sherehe za uwekaji wa Jiwe la msingi la Maskani ya Ari Mpya,kasi Mpya na Nguvu Mpya huko kijiji cha Kama Bondeni Wilaya ya Magharibi leo,katika ziara maalum ya kuimarisha
Chama cha Mapinduzi.Picha na Ramadhan Othman Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...