Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashim Lundenga akifafanua jambo wakati wa semina ya mawakala wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania 2012 iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Miss Tanzania 2011, Sarha Israel na Meneja wa kinywaji cha Redd,s Victoria Kimaro
Mawakala kikaoni
Baadhi ya mawakala wakifuatilia mada za kikao
Picha za pamoja
Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii
Lundenga kwa nini usikubali kuwa kwa umri wako na mambo ya ULIMBWENDE hamuendani tena?
ReplyDeleteBora uachie vijana wabunifu wafanye vitu vyao kwani wewe umepitwa na wakati kaka!
Kubali matokeo kaka UMRI umekutupa mkono!
umri umemtupa mkono kwani amekufa? mwache afanye kazi ikiwa yuko hai na ana nguvu. usilete unyanyapaaa hapa.
ReplyDeleteWewe Mdau nani alikwambia Mwanaume anazeeka ?
ReplyDeleteKwa taarifa yako mwanaume DAIMA anakuwa ni 'OLD BOY' tu kwa vile cha msingi Mtaji wa Mwanaume wa kuwa navyo ni vitu viwili muhimu cha tatu ni ziada:
1.PESA,
2.NGUVU ZA KIUME NA KUJIHISI ZIMO,
3.UWEZO NA KUIMUDU MIZUNGU YA MAHABA,
Inaonyesha wewe Mdau ungali mdogo au huyajui mambo, pana baadhi ya Wazee ni moto wa kuotea mbali kwa Mahaba motomoto akimnasa Demu au Mkeo wewe Mwanaume Mwanamke wako atakuona Bonge la fala!,,,kwa kweli Kibabu atakulaza chali !
Wewe Kijana ndio mwanamke wako atakuona Mzee, na huyo Mzee Ki-Babu ataitwa Kijana !
Upo hapo?
Mwanaume anazeeka vipi ?
ReplyDeleteHujawahi kuona Babu wa miaka 85 anaona Binti wa miaka 15 ?
La muhimu ni 'uwezo wa pesa' na 'Jogoo' lililokuwa zima linalowika !
Hawa Mawakala kama ndio wenyewe Ma-Miss !!!
ReplyDeleteWazuriiii !