Mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari (kulia) akiwa amezongwa na wananchi baada ya mkitano wa kampeni uliofanyika kijiji cha Lekitatu kata ya Usa River leo.
Sioi akisalimia wananchi kwenye mkuatno huo wa Ngarasero, Usa Rive
Mgombea wa CCM Sioi Sumari akiingia kwenye mkutano huo wa Ngarasero leo jioni





Safi sana! Sisi wenyeji wa Meru na ndugu zetu Wamasai tutamaliza jeuri ya slaa, lema, tundu lissu na kyadema jumapili ijayo. CCM oyeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteoyeeeeeeeeeeeeee
ReplyDelete