By Ayoub mzee
Commonwealth Day is an opportunity to promote understanding on global issues, international co-operation and the work of the Commonwealth’s organisations, which aim to improve the lives of its citizens.
It is celebrated on the second Monday in March every year. The theme for Commonwealth Day 2012 is Connecting Cultures
The observance is the largest uk annual multi faith gathering which is always honoured by the presence of the head of the commonwealth HER MAJESTY QUEEN ELIZABETH II, The Duke of Edinburgh, Prince Charles and the Duchess of Cornwall.Tanzania was represented by H.E Peter Kallaghe
Commonwealth ina nguvu kwaserikali ya Uengereza kwa kuzidi kuzipangia masharti nchi zetu na uwamuzi wa lazima sie tulichoachiwa ni kuombaomba ili watunyanyase vizuri na tukitaka kuivunja tutaumizwa na NATO ndio utaona Ukoloni wao wa mabavu, Tanzania tuamle tuwape wenetu Elimu na Kusoma vitabu kwa wingi na dini na mila, nizamu ya Elimu na Mila inatoweka nchini, watu bado wanaendekeza Ushirikina na ma Fashion Show yasiokuwa na msingi na matangazo ya pombe tu hapa Tanzania. Khalfan
ReplyDeleteAfrika itakombolewa na waafrika wenyewe, pale tu watakapoungana na kuwa na sauti moja, lazima utumwa hauko mbali, mtakamatwa na kutumikishwa kama enzi zile.
ReplyDeleteNa pia tukumbuke DHULUMA NA UBINAFSI, ni laana ambayo huzuia baraka za Mwenyezi Mungu hata uwe unaswali kiasi gani.
Na hili ndo tatizo letu waafrika ufisadi, dhuluma hata kwa masikini na yatima, ndo maana twaswali sana lakini wapi.