By Ayoub  mzee
Commonwealth Day is an opportunity to promote understanding on global issues, international co-operation and the work of the Commonwealth’s organisations, which aim to improve the lives of its citizens.
It is celebrated on the second Monday in March every year. The theme for Commonwealth Day 2012 is Connecting Cultures
The  observance  is  the  largest  uk  annual  multi faith gathering which  is  always  honoured  by the  presence  of  the head  of  the  commonwealth HER  MAJESTY  QUEEN  ELIZABETH II, The  Duke of  Edinburgh, Prince  Charles and  the  Duchess  of  Cornwall.Tanzania  was  represented  by  H.E  Peter Kallaghe  

Mr and Mrs Peter kallaghe arriving for the service

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Commonwealth ina nguvu kwaserikali ya Uengereza kwa kuzidi kuzipangia masharti nchi zetu na uwamuzi wa lazima sie tulichoachiwa ni kuombaomba ili watunyanyase vizuri na tukitaka kuivunja tutaumizwa na NATO ndio utaona Ukoloni wao wa mabavu, Tanzania tuamle tuwape wenetu Elimu na Kusoma vitabu kwa wingi na dini na mila, nizamu ya Elimu na Mila inatoweka nchini, watu bado wanaendekeza Ushirikina na ma Fashion Show yasiokuwa na msingi na matangazo ya pombe tu hapa Tanzania. Khalfan

    ReplyDelete
  2. Afrika itakombolewa na waafrika wenyewe, pale tu watakapoungana na kuwa na sauti moja, lazima utumwa hauko mbali, mtakamatwa na kutumikishwa kama enzi zile.
    Na pia tukumbuke DHULUMA NA UBINAFSI, ni laana ambayo huzuia baraka za Mwenyezi Mungu hata uwe unaswali kiasi gani.
    Na hili ndo tatizo letu waafrika ufisadi, dhuluma hata kwa masikini na yatima, ndo maana twaswali sana lakini wapi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...