Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. 061mgoli@gmail.comMarch 24, 2012

    Kibonzo kinafurahisha ,na maana yake ni funzo kwa viongzi wetu wa kiafrica ambao wanang'ang'ania madaraka wakiwa wazee.Wawaachie vijana ni wakati wao sasa,wao walianza wakiwa vijana sasa wazee,waachie madaraka kwa wengine

    ReplyDelete
  2. Huyu Mzee WADE ni muda wake sasa kukaa pembeni angoje kutafutwa kwa Ushauri wadogo wakikwama abaki anakula bure kwa kodi ya Wananchi kutokana na alivyoitumikia nchi akae bure, kula ,kunywa, kulala na matibabu kwenye Majumba ya kulelea Wazee akisubiri kifo huku akiwa na Mipira yake uvunguni mwake tumboni!

    ReplyDelete
  3. ikiwa kiongozi anaongoza hadi anazeeka, wastaafu wanateuliwa kushika nyadhfa, vijana wataajiriwa lini? nimezaliwa nasikia fulan mkuu wa mbunge, mara waziri, mara kastaafu kapewa ukuu wa mkoa, sasa mimi nitaajiriwa lini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...