Dr.Hildebrand Shayo (kulia) akirejesha fomu zake kuwania ubunge wa Afrika Mashariki kwa ofisa wa CCM katika ofisi ndogo za Makao Makuu ya chama  hicho jijini Dar es salaam. Dr Shayo ni mhadhiri wa Uchumi na amerejea nchini baada ya kuishi Uingereza kwa miongo kadhaa akifundisha. Katikati ni Mh Makongoro Nyerere ambaye naye amejitosa kwenye libeneke hilo lenye ushindani mkubwa. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Thumbs Up Dr Shayo, alex bura dar

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...