Ankal, hiki kioja nimekikuta jana Bagamoyo
MDAU MTEMBEZI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. UMEME HAKUNA SASA WANANCHI WAFANYEJE?

    TENA BADO ILIKUWA WAANIKE NGUO ZAO HAPO BAADA YA KUZIFUA.

    ReplyDelete
  2. TANESCO huwa wanalipualipua kazi zao hivyo wananchi kukwepa madhara ya kugusana kwa nyaya huwa wanatumia mbinu hizi. Maaana wanajua hitilafu yoyote ikitokea kuwaona TANESCO ni issue ya miezi kadhaa

    ReplyDelete
  3. Kila kiatu kinawakilisha aliyekufa!

    ReplyDelete
  4. Hiyo ni alama kuwa maeneo hayo madawa ya kulevya yanauzwa.Ingawa watu wa maeneo mengine kama kuna kijana wa mtaani akifa kiatu chake kinawekwa juu.yoote yanatumika

    ReplyDelete
  5. Mambo ya Kuiga USA hayo Vijana tehteh Mdau wa Kwanza kanifurahisha, Serikali inapoiga kuachia Vijana uhuru wakufanya watakalo ndio tabia inafikia huko, sasa subirini kuona Wasichana Wadogo wanalewa na kuanguka mabarabarani kama wa kule Uengereza, Serikali ya Kilevi na Tabia itaenda Kilevi. Khalfan

    ReplyDelete
  6. Sasa kama hakuna umeme mnafikiri itakuaje ? afadhali hizo waya zzibiwe zote wat wakategee wanyama porini, angalau watapata kidogo kitu cha kula. Hiyo ndio tanzania baada ya Mwalimu Nyerere na bado itazidi kuwa mbaya tu. VIVA anikeni mpaka nguo za mitumba hapo hapo.

    ReplyDelete
  7. Umeme ukija,situta anza makelele tena??

    ReplyDelete
  8. Hiyo ni ishara kwamba madawa ya kulevya yanapatikana hapa - na raba makripa, raba kawaida, viatu ngozi na rangi vyote vinaashiria madawa gani yanapatikana. Sehemu zote Marekani ambapo yanauza kuna hivo viatu. Soooo ukiniambia bagamoyo nako vipo, ina maana na soko lipo.

    ReplyDelete
  9. Jamani mbona hata Kawawa road karibia na Mkwajuni ukitokea Magomeni nao wametundika hivyohivyo!!

    ReplyDelete
  10. Mdau wa umeme hakuna, serikali imetangaza kwamba hakutakuwa na mgao kamwe, hujasikia? lakini hata kama umeme hakuna, acha kutetea ujinga wa namna hiyo!

    ReplyDelete
  11. Heee Bagamoyo hapo Polisi wako wapi?

    Asalaleee wanamtia aibu Raisi wetu!

    Ahhh hawa wakamatwe mara moja!

    ReplyDelete
  12. ni alama ya wauza unga kuwa bidhaa inapatikana maeneo yaho.Inatumika saana harlem.

    ReplyDelete
  13. nakubaliana na mchangiaji wa kwanza ni kweli kabisa umeme wenyewe hakuna wafanyeje sasa acha wafanya hizo nyaya kama za kuanikia viatu na nguo watu wamechoka na hii na huu ongozi wa ccm

    ReplyDelete
  14. Bila shaka halimashauri ya wilaya watakuwa wanatoza ushuru hayo mabango ya biashara!!!

    ReplyDelete
  15. MDAU HICHO SIO KIOJA NI UJUMBE HUO USOME VIZURI USIKURUPUKE.WATU WASHAJICHOKEA NA TANESCO NI HIYO BASI TU TUNAOGOPA MABOMU YA MACHOZI ILA AKITOKEA WAKULIANZISHA VIZURI NA MWENYE MSIMAMO UTAONA MWENYEWE MOTO WAKE KAMA UTAZIMIKA KWA GARI LA MAJI YA KUWASHA.

    ReplyDelete
  16. uongo mkubwa huo. nyaya za umeme upita juu, takribani mita 10. si rahisi kuzifikia kirahisi, labda kwa kutumia ngazi. 'It's graphic'

    ReplyDelete
  17. Hard in da PaintMarch 19, 2012

    @Khalifan ..serikal ya uingereza, watoto wa kike wa uingereza wanahusika vipi na hii picha...vifikiria kitanzania sio kushoboka na nchi za watu.../ zilizojengwa toka kitambo

    ReplyDelete
  18. Waya zimefungwa kiholela zinaweza kugusana saa yoyote na kuleta madhara ndo maana mambo kama haya yapo sehemu nyingi sana. Tanesco wacheni kulipua kazi pia imarisheni kikosi chenu cha ukarabati.

    ReplyDelete
  19. Mdau wa MaguMarch 19, 2012

    Waya zinatakiwa kuwa insulated na hayo yote ya shoti hayatatokea. Mi sioni shida waache vijana wawakilishe.

    ReplyDelete
  20. Ukweli ni kwamba, maeneo hayo yanapatikana madawa ya kulevya. fanyeni uchunguzi mtagundua. anzeni kuchunguza kinondoni manyanya, mwananyamala, nk. mtapata jibu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...