Beki wa Yanga, Bakari Mbegu akimtoka mshambuliaji wa Africam Lyon, Benedicto Jacob katika ligi Kuu ya Vodacom Uwanja wa Taifa. Yanga ilishinda bao 1-0
 Golikipa wa timu Yanga Said Kasarama akiokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake wakati wa mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika katika Uwanja wa Taifa
Heka heka langoni mwa Yanga. Picha zote na Francis Dande wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...