Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. mstari wa 4. Mungun waondolee mioyo ya ufisadi na ubinafsi viongozi wetu,ili wafanyekazi kwa maslahi ya wananchi,wasiwe warafi wa kujilimbikiza mali,na wajuwe wazi kwamba cheo ni dhamana.Mungu ibariki jumuia yetu.

    ReplyDelete
  2. Kwa nini ianze na EE MUNGU? na kwa wale atheist au sisi agnostic?

    ReplyDelete
  3. Nchi hizi ni za kisekyula kwa nini dini inaingia serikalini.

    hii inaweza kumwagilia maji mche wa ubaguzi wa kidini.

    tujuwe kuwa kenya na uganda wana ubaguzi na hupigana kwa misingi hiyo.

    ReplyDelete
  4. Sijui kwa nini wimbo unaanza na "Ee Mungu", na wale wasioamini mungu inakuwaje?

    ReplyDelete
  5. Ilitakiwa wakusanye maoni katika kutunga wimbo huu siyo kuomba viongozi wa dini kadhaa kutunga kwa mujibu wa imani zao.

    ReplyDelete
  6. Ndugu zetu WAPINGA MUUNGANO wachache Muungano wa Zanzibar na Tanganyika mpo?

    Watu wanawaza Kuungana kama mnavyoona hii EAC ninyi mnawaza Kutengana!

    Jumuia ya Afrika ya Mashariki nchi Wanachama zimejaaliwa na kubarikiwa kwa mambo tofauti:

    KWA UCHACHE:

    1-TANZANIA: ina Gas,Uranium,Diamonds,Gold,Metals,Nickel,Coal and Oil very soon to strike.

    2-UGANNDA: ina Oil

    3-KENYA: ina Masoko na Huduma za Kibiashara na Oil

    4-RWANDA: ina Coltan and Bouxite

    5-BURUNDI:ina Quality super Coffee

    MALI NA NEEMA ZILIZOPO KTK NCHI HIZI AMBAZO ZANZIBARI ITANUFAIKA NAZO HATA MWARABU HANA MNAEMTEGEMEA MKIVUNJA MUUNGANO MWENDE KWAKE.

    (MWARABU ANA MAFUTA (Oil) TU )

    HUYO HUYO MWARABU, ANA KIAMA KWA VIWILI HAPA CHINI:

    1-MAPINDUZI NA VURUGU ZA KISIASA.
    2-KUFILISIKA KIFEDHA NA KIUCHUMI SAMBAMBA NA NCHI ZA MAGHARIBI ANAZOSHIRIKIANA NAZO.

    UAMUZI WENU KUVUNJA MUUNGANO KAMA MNGEFANIKISHA HAPO KABLA UNGEWAWEKA WAPI HAPO?

    SI AFADHALI MLICHELEWA IMEKUWA SALAMA YENU?

    :::::MUELEWE SERA YA KUVUNJA MUUNGANO IMEPITWA NA WAKATI:::::

    KAMA MNGEVUNJA NI WAZI KULINGANA NA UZITO WA MABADILIKO WA MWENDO WA DUNIA KAMA HAPO JUU MNGERUDI KUOMBA UANACHAMA WA JUMUIA YA AFRIKA YA MASHARIKI AMBAKO MNGEKUTANA TENA NA TANGANYIKA!

    KIKO WAPI, SI NDIO MAMBO YA MKATAA PEMA PABAYA PANAMWITA?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...