Rais Barak Obama wa Marekani akimtambulisha Ankal ambaye amechaguliwa kutunukiwa nishani ya kuwa mwana Libeneke Bora Duniani kutokana na mchango wake mkubwa wa kuunganisha watu mbalimbali duniani kwa njia ya mtandao huu wa jamii. Tuzo hiyo imetolewa na American Celebrities Guild na inaambatana na zawadi ya kitita cha dola 800,000 za Kimarekani. Hafla hii imefanyika leo huko Los Angeles.

Ankal amepewa heshima hiyo baada ya Globu ya Jamii kushinda tuzo ya Huduma Iliyotukuka hasa baada ya kuanzisha huduma za bure za mtandao, ambapo hivi sasa mdau unaweza kupata MichuziBlog Wifi bure katika kila sehemu iliyo na Hot Spot ya UhuruOne ambayo imeanzia jijini Dar es salaam wiki iliyopita na sasa juhudi za kuisambaza nchi nzima ili kuwafikia wadau wengi.

Ankal amealikwa kwenda Washington DC, Marekani kwenda kukabidhiwa tuzo hiyo na Rais Obama katika Ikulu ya Marekani Aprili 10 mwaka huu. pamoja na hio  na zawadi ya kitita cha dola 800,000 za Kimarekani kama kifutia jasho na pia pesa ya kupanua wigo wa Globu ya Jamii.
Kwa habari zaidi ya huduma hiyo ya bure ya MichuziBlog Wifi
BOFYA HAPA
Mcheza sinema maarufu duniani Brad Pitt naye alikuwepo kuunga mkono tuzo aliyopewa Ankal ambapo yeye na mastaa wengi wengine walisaini mabango ya picha ya Ankal yatayosambazwa kila mahali duniani katika promosheni kabambe iliyoasisiwa na American Celebrities Guild na kutolewa kwa mtu anayejali maslahi ya jamii


Victoria Beckham, mke wa mwanasoka maarufu  David Beckham, naye alikuwa miongioni mwa nyota kibao waliokuwepo kumsapoti Ankal na Globu ya Jamii. LIBENEKE OYE!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 132 mpaka sasa

  1. Hongera kaka, wewe ni mfano mzuri wa kuigwa na blogger wengine.

    ReplyDelete
  2. ANKAL YOU WONT GONNA FULL NO BODY,

    ReplyDelete
  3. siku ya wapumbavu dunuani

    ReplyDelete
  4. apr fool

    ReplyDelete
  5. Sawa kaka leo ni siku ya wajinga teh teh.....!

    ReplyDelete
  6. april fuuuuuuuuuuuuul ankal.
    mdau wa washington

    ReplyDelete
  7. Happy fools

    ReplyDelete
  8. 1st april fools day ujanipata bado ankal.

    ReplyDelete
  9. APRIL fuuuuuuuuuuuul,ankal congrants.
    mdau washington

    ReplyDelete
  10. APRIL fuuuuuuuuul,ankal congrants
    mdau washington

    ReplyDelete
  11. Sikukuu ya wajinga hiyo

    ReplyDelete
  12. April fools day

    ReplyDelete
  13. aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mzee michuzi cku ya wajinga ume









    aaaaaaaaaaaaaaaa mzee michu umemkata huyo mtoa maoni hapo juu

    ReplyDelete
  14. happy april fools day

    ReplyDelete
  15. safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana mzee upo juu

    ReplyDelete
  16. Happy Fools Days kaka.

    ReplyDelete
  17. Siku ya wajinga!!!

    ReplyDelete
  18. Huyooooo, happy foools day!

    ReplyDelete
  19. jamani huku kwetu bado tarehe 03/31/2012

    ReplyDelete
  20. Hamna haja ya hii ankal,bongo kila siku april fools day

    ReplyDelete
  21. hahahahahahhh kalaga-bao. kweli April 1st

    ReplyDelete
  22. he he hee humuingizi mtu choo cha kike labda wale wa kulee nanjilinji!

    ReplyDelete
  23. happy fools day ankal, mungu akubariki sana!

    ReplyDelete
  24. april fooooooooooooooool oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  25. Ankal, kama hii habari ni ya kweli basi nakupa hongera nyingi sana ndugu yangu. Lakini leo hii April 1st kidogo inanifanya kuwa na kawasiwasi kama hii ni kweli au...

    ReplyDelete
  26. April fool!!!!

    ReplyDelete
  27. Kweli umewapata wengi leo siku ya wajinga dah!

    ReplyDelete
  28. au huu ndio mchezo wa tarehe mosi april kila mwaka?

    ReplyDelete
  29. Fotoshopu hizo ankal mambo ya sikukuu ya wapumbavu.Siyo siri lakini nakupata tano kwa free WIFI

    ReplyDelete
  30. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete
  31. April fools, humpati mtu Ankal, lol!

    ReplyDelete
  32. Ankal, hapa utalamba vichwa kishenzi. Hadi saa sita mchana utakuwa umewajaza kwa magunia.

    Abiola Jr, Mafia kiduka cha juice.

    ReplyDelete
  33. Bwahahahaaaaaaaa April fool's day

    ReplyDelete
  34. Aaa wapi, mimi hujanipata, labda utume tena hii habari tarehe 2.

    Ila ninauheshimu mchango wako.

    ReplyDelete
  35. hunipati leo ni foolish day

    ReplyDelete
  36. Huku bado march 31st. But hey - April fool's day

    ReplyDelete
  37. Duuh ankal bonge la news hizo laiti tu isingekuwa april mosi. Hongera enewaiz kwa ubunifu!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  38. April fool brother.....!!

    ReplyDelete
  39. A.F......nice one he hee

    ReplyDelete
  40. Fools day in full effect.

    ReplyDelete
  41. APRIL FOOLS PRANKS DAY!!!!!

    ReplyDelete
  42. hongera sana

    ReplyDelete
  43. siku ya wajinga...

    ReplyDelete
  44. fools day unipati ng'ooo nice one

    ReplyDelete
  45. kuntry BoyApril 01, 2012

    Aprils
    fools DAY

    ReplyDelete
  46. mwaka huu hujatupata na siku ya wajinga

    ReplyDelete
  47. April Fools Day


    Kuntry Boy
    Mississippi

    ReplyDelete
  48. siku ya wajinga leo uncle!

    ReplyDelete
  49. Leo tarehe 1 April...

    ReplyDelete
  50. Happy fools day

    ReplyDelete
  51. We Michezi acha zako ujamkamata mtu bado leo siku ja wajinga sio ahahahahahaha

    ReplyDelete
  52. siku ya wajinga duniani.hii habar si ya kweli

    ReplyDelete
  53. We Michezi acha zako ujamkamata mtu bado leo siku ja wajinga sio ahahahahahaha

    ReplyDelete
  54. Hongera siku ya wajinga duniani...

    ReplyDelete
  55. AzaniaBitoziApril 01, 2012

    Michu za masiku ndugu yangu.Ngoja tuone wangapi utawapata leo. Anyways, kama kawaida comments zangu usiziweke tuone mabwege wangapi utawapata zis taimu

    ReplyDelete
  56. Haya sas hapa DC tunajiandaaje kumsuport Uncle? Maaana lazima tuiwakilishe nchi yetu ipasavyo, tafadhali Michuzi tuwekee ratiba ya hii shughuli some of us are interested to be part of it hata vigelegele tuuu kukushangilia inatosha! Keep us posted. U desersve more than this tuzo kwani wengi wetu tuliopo huku nje tunakuwa up to date na mambo yote yanayotokea nyumbani through your blog. Naanza siku na issamichuzi na ninamaliza siku na issamichuzi! Keep up good job na uendelee kubarikiwa.
    MDAU WASHINGTON D.C

    ReplyDelete
  57. japo kuwa ni siku ya wajinga dunia,lakini bado una nafasi ya kufikia hiyo level,komaa.

    ReplyDelete
  58. dah wajinga wapo wengi, haya Happy fools day Ankal.

    ReplyDelete
  59. Hahahahaha poleni kwa wote mlioamini, Happy Fools Day.....Ankal me hujanipata......hahahahaha

    ReplyDelete
  60. happy fools day ankal

    ReplyDelete
  61. Happy April's fool the fooled fools !!! ...

    ReplyDelete
  62. MWAKA JANA ULINIPATA ULIPOTOA ZILE PICHA ZA KUPATA KAZI UBALOZINI MAREKANI.

    THIS YEAR UMECHEMKA KWANGU.

    ANYWAY - IT ALL ENDS BAADA YA SAA NNE/TANO.

    PRINCE SAB - WERRASONIQUE.

    ReplyDelete
  63. Ankal you can fool yourself i ain't no fool

    ReplyDelete
  64. April fools....

    ReplyDelete
  65. Hongera ya nini nyie? leo ni siku ya wajinga duniani! atapata wapi nafasi hiyo MIchu? saa hizi yupo kwao maneremango anakula ugali kwa mlenda!

    ReplyDelete
  66. Haya Uncle umewapata wengi kwani bado wana usingizi wa Kalenda.sio mbaya inapendeza sana endelea kuwakamata,mimi siwashtui hao,maana saa sita bado.waalike kwenye mnuso maana........

    ReplyDelete
  67. wajinga wazembe na wakulima eo tunaingia mkenge mkuku mkuku ha ha ha ha!!!!

    ReplyDelete
  68. April's fools - hizi ndoto za alinacha za ankal ni balaa! Naona keshawaokota hao wadau watatu hapo juu tena vizuri kabisa. Teh, teh... :-)

    Buckinghamshire

    ReplyDelete
  69. Mmm! Hii imkaa kifools day fools day hahahahaha

    ReplyDelete
  70. Leo ni Siku ya WAJINGA DUNIANIA!

    ReplyDelete
  71. watu michuzi kawaweza kweli enjoy April 1st

    ReplyDelete
  72. Hili haliwezi kuachwa bila kutambuliwa Kitaifa. Ankal amekuwa mfano mzuri sana wa kuwahabarisha na kuwaunganisha Watanzania ndani na nje ya nchi. Lakini ajabu sisi hatutambui hayo mpaka wenzetu wameona hilo. Juzi kulikuwa na tuzo za waandishi bora nchini lakini hakutambuliwa! Jamani umefika wakati mtu akifanya vizuri Asifiwe na kupata ushirikiano wa Serikali na wadau wengine kufanikisha ndoto zake haswa jambo lenyewe linapogusa jamii.
    Ankal, hongera sana kaka yetu, hakika hayo ni mafanikio makubwa sana ya kujibunia.

    ReplyDelete
  73. Mhhh ngoja ni mezeeee uncle jioni ntacomment umenisoma eheeee

    ReplyDelete
  74. hamjui leo sikuku ya wajinga eeeeh......

    ReplyDelete
  75. sikukuu ya wajinga hahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  76. April hii...mbona kazi ipo!!

    ReplyDelete
  77. Acheni nyie kweli umewapata hao wajinga ..................

    ReplyDelete
  78. SIKUKUU YA WEHU LEO.

    ReplyDelete
  79. Siku ya wajinga

    Richard - Trondheim

    ReplyDelete
  80. Happy fools day uncle!ha ha ha ha

    ReplyDelete
  81. APRIL FOOLS DAY PRANK!!

    ReplyDelete
  82. APRIL FOOLS DAY PRANK!!

    ReplyDelete
  83. jamani leo ni siku ya wajinga msiingie tu kichwa kichwa hizi picha ni photoshop

    ReplyDelete
  84. Hivi we mzee wa kamba!

    Bado watu wanaendelea kuingia mjini mpak saa hizi? Hii siku kweli nzuri.

    Haya utoe matokeo kamili tujue umewachapa wangapi mwaka huu.

    Wajinga kweli ndio waliwaoooo!

    ReplyDelete
  85. APRIL FOOL..hahaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  86. MH!!! UNCLE LEO SIO SIKUKUU YA WAJINGA?????? HAHAHAHAHA. WATOTO WA TANDALE WABAYA UNCLE ANGALIA WASIJE KUKUVAMIA BURE WAKADAI MGAO WA $800,000 HAHAHAH

    ReplyDelete
  87. HAHAHAHA UNCLE NIMEKUSHTUKIA APRIL FOOL LEO.

    ReplyDelete
  88. ALA KUMBE LEO NI SIKUKUU YA WAJINGA..UMEKAMATA WADAU...CHACHACHACAHAHAHAHAHAH

    ReplyDelete
  89. Wajinga ndio waliwao! Siku kuu yenu hii na leo tarehe 01/04/2012 mnaisherehekea Rasmi na Mkuu wa Wilaya ya Tegeta kama mgeni Rasmi, pongezi kwa wote na hongera Mhe Michuzi katika fani hii ya usanii kwa kweli umewapata

    ReplyDelete
  90. Habari kama hizi zinapotolewa siku kama ya leo zinahitaji tafakari ya hali ya juu kabla ya kutoa pongezi maana today is FOOLISH DAY, hongera hata hivyo japo ninatafakari pia

    ReplyDelete
  91. Congratulation Sir. You deserve this. Keep it up!!

    ReplyDelete
  92. Jombiiiiiiiii, umeula eee, yani ungepiga suti kwa hizo post zako ingekuwa swafiiiiii


    Happy April Genius

    ReplyDelete
  93. haaaa haaaa haaaa, wajinga ndio waliwao. Sikukuu ya Wajinga leo.

    ReplyDelete
  94. GOO FOOL DR KIKWETE

    ReplyDelete
  95. Happy Fools Day!

    ReplyDelete
  96. April fool

    ReplyDelete
  97. What a fool....

    ReplyDelete
  98. happy wajinga day

    ReplyDelete
  99. Juu Juu Juu zaidi.

    ReplyDelete
  100. Fools must learn in hard way " Happy fools day"

    ReplyDelete
  101. Hahahaha "HAPPY FOOLS DAY!"

    ReplyDelete
  102. Hahahaha, tehtehteh. SIKU ya PUNGU1. Umewasomba kweli, tihtihtih.

    SEA

    ReplyDelete
  103. ok uncle, tumekupata, leo ni tar 1.4.2012

    ReplyDelete
  104. Ankal naona umewapata kweli kweli hapo juu!

    ReplyDelete
  105. lakini kumbuka its April 1st.

    ReplyDelete
  106. Ni siku ya wajinga , humpati mtu ankal. We endelea uko uko bongo tu

    ReplyDelete
  107. Amewapata. Tarehe ngapi leo?

    ReplyDelete
  108. Is it not a fools- day means of gaining popularity?

    ReplyDelete
  109. Ah aah aaaah sina mbavu. Top Award April Fools TZ!

    ReplyDelete
  110. HONGERA SANA KAKA MICHUZI UMEONYESHA MFANO MZURI KWA WATANZANIA

    ReplyDelete
  111. Hongera kaka Michuzi. Wewe ni mfano mzuri kwa watanzania wengine.

    ReplyDelete
  112. HAppy April fool

    ReplyDelete
  113. umewapata sana watu siku kuu ya wajinga leo!

    ReplyDelete
  114. leo siku ya Wajinga.

    ReplyDelete
  115. Guys today is a foolish day

    ReplyDelete
  116. ANKAL ANGALIA HAYO MATANGAZO YA HIVYO WASIKE WAZEE WA KAZI NA VYUMA BURE, KUMBE UMELALA NA NJAA,WANAFIKIRI UNA KITITA NDANI! WEE BBWANA HIO APRIL FOOL TUNAIJUA SISI MAJAMBAZI WASIOKWENDA SHULE WANAAMINI NI KWELI ANGALIA ANKAL USIJICHIMBIE UMAUTI, BONGO IMEKAA PABAYA.

    ReplyDelete
  117. Ankal ni April fool kama kuchaguliwa utachaguliwa mwenyekiti wa serikali za mtaa na majirani zako.

    ReplyDelete
  118. Sasa Ankal photщshop huijui kiasi hicho! Iko cheap sana, mpaka inajulikana kama ni feki!
    Angalia wenzio huku walivyotengeneza vitu, hapa kuna watu waliamini kwamba Rais Mteule wa Urusi Vladimir Putin amekamatwa kwa Uhujumu wa nchi huyu hapa kizimbani
    http://www.youtube.com/watch?v=v1hLtFn4CLU

    ReplyDelete
  119. kama kweli una screen comments, imekuwaje ukatoa comment ya anon. Sun Apr 01, 05:36:00 AM 2012?????

    please msituchafule blog, kama mtu haweze kutoa maoni kwa heshima bora aache. kwa ujumla huyo anon wa Sun Apr 01, 05:36:00 AM 2012 labda yeye ndio ana tabia hizo. inakuwaje hadi amtukane mzazi wa uncle? nimesikitika sana maana nina imani watoa maoni humu tu watu wazima na sijui ni picha gani tunatoa kwa jamii. Mungu atuhurumie, kwa kweli naomba mungu amfanye mtoa maoni kuwa mu- injilist... Amen.

    ReplyDelete
  120. HONGERA ANKAL

    Hongera kwa kunicatch mwaka jana na mwaka huu.
    Ila nakuombea iwe kweli.
    Usisahau kuwa wafanya kazi sana na jamaa wengi tulio nje ya nchi umekuwa kama our umbilical connection to Bongo.

    ReplyDelete
  121. Kaka hongera kwa kuipamba vema siku ya wajinga. Uko juu!

    ReplyDelete
  122. Hivi wewe hapo juu unaemtusi Michuzi, kwa maneno ambayo siwezi kuyarudia hapa, naomba nikuulize swali. Je, unalazimishwa kusoma hii blogu? Kama unaona kuwa inapendelea upande moja kwa nini unaendelea kuirudia kila siku. Soma blog zingine. Nenda kasome jamiiforum, rai na wengineo. Na je, umeshindwa kuanziha ya kwako? Kwa sababu, mimi ninavyojua kutengeneza blogspot ni bure. Kwa nini usitengeneze ya kwako ambayo itatangaza habari za hao waokuf**a wewe. Nisamehe. Lakini watu kama hawa wanakera kaka Michuzi. Nimalize kwa kusema uhuru wa kusema ni haki ya msingi lakini heshima mbele ya kadamnasi ni muhimu.

    ReplyDelete
  123. Ankal... mimi nimeipenda. hata kama ni fools day, lakini hi inaonesha how big your dreams are!!! You will get there. Just believe in yourself. anaebisha is the fooled fool.

    ReplyDelete
  124. Leo umechemka sana Mkuu Bora ungeweka hiyo picha moja tuu hapo tehe nimeiponda photo fania kwa kweli

    ReplyDelete
  125. Du,Hata mimi nilishaamini ila kwa mashaka.
    Hongera kwa kutuweza.

    ReplyDelete
  126. Anko happy fooool day ila nashukuru umenifunua macho kwa baadhi ya zile picha za kwenye magazeti ya udaku.

    ReplyDelete
  127. Kama si April Fools' day, hongera ankal Michuzi. Na kama ni utani, nakiri unastahili tuzo.

    ReplyDelete
  128. Sunday ShomariApril 01, 2012

    Happy fools Day!Baba hongera kwa utaalam huu wa photoshop hapa nimekuvulia kofia.!!

    ReplyDelete
  129. Hiyo ni sawa na tshillings;1,240,000,000/= you are a richman, no longer michuzi.

    ReplyDelete
  130. Hakika umewapata

    ReplyDelete
  131. ITS FOTOFUNNIA SIO PHOTOSHOP GOOGLE PHOTO FANIA DOWNLOADIT ON UR PHONE AU COMPUTER NA WEWE UTAWEZA KUWEKA PICHA KAMA HIZI HAPPY GENIOUS DAY

    ReplyDelete
  132. Mimi sipo ktk 1ST APRIL FOOLS DAY!

    Mimi ninaomba Ankal ukipewa hiyo cheki yako ya US$ 800,000.00 mimi unitumie angalau US$ 1,000.00 tu NITASHUKURU SANA !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...