Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi (kulia) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Coca-Cola ya 'sababu bilioni za kuthamini Afrika' Dar es Salaam leo.  Kushoto Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania, Dimeji Olaniyan.
Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi (kushoto) akimkabidhi zawadi ya dekoda, mwandishi wa habari Agnes Sikaonga wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Coca-Cola ya 'sababu bilioni za kuthamini Afrika' Dar es Salaam jana.  Katikati ni Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania, Dimeji Olaniyan.
Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi (kushoto) akimkabidhi zawadi ya dekoda, mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi, Fariji Msonsa wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Coca-Cola ya 'sababu bilioni za kuthamini Afrika' Dar es Salaam jana.  Katikati ni Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania, Dimeji Olaniyan.
Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi (kushoto) akiiingiza mkono kwenye kasha kuchagua karatasi lenye jina la mshindi wa bahati nasibu iliyochezwa wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Mshereheshaji wa hafla hiyo, Kibonde
Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi (kushoto) akimkabidhi zawadi ya Televisheni mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi, Nora Damiani aliyeshinda bahati nasibu wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Coca-Cola ya 'sababu bilioni za kuthamini Afrika' Dar es Salaam jana.  Kulia ni Meneja Mkazi wa Coca-Cola Tanzania, Dimeji Olaniyan.
 Baadhi ya wanafunzi wakiwa katika uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika leo  Mlimani City, Dar es Salaam
                                          Wanahabari wakiwa kazini wakati wa uzinduzi wa kampeni hizo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Duh nilivyoiona hiyo sababu Boliono nikadhania ni kwababu Loliondo,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...