Fundi kutoka kikosi cha dharura cha Tanesco akikata ukeke katika nguzo kuthibiti madhara zaidi , baada ya  Nyumba moja iliyopo Manispaa ya Lindi jirani na stand kuu ya mabasi kuteketea kwa moto. Picha hizi zinaonyesha wananchi wakishangaa pasipo kuokoa mali zozote kutokana na moto huo ambao umeteketeza banda moja la fundi Kompyuta, Photo Studio, Saloon ya kunyoa nywele, Banda la kushonea nguo la fundi Mkenda na makazi ya watu. Moto huo ulianza kuwa majira ya saa 8 mchana. Picha na mdau Elvan Limwangu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Wamwera hao wa Kiranjeranje wanashangaa shangaa..wakitoka hapo wanaenda kucheza ngoma usiku..ha ha ha .Safi sana

    David V

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...