Bi. Harusi Mtarajiwa,Mahadia Mhando akiwa kwenye pozi la picha wakati hafla yake ya pati ya jikoni (Kitchen Party) iliyofanyika kwenye ukumbi wa Carnival uliopo ndani ya viwanja vya maonyesho ya biashara ya kimataifa (sabasaba) mwishoni mwa wiki.
Bi. Mahadia Mhando akipungia wakati akiingia ukumbini.
Bi. Mahadia Mhando akijianda kufungua shampein.
Bi. Mahadia akiwa na wadogo zake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Huyu dada amependeza sana nampongeza

    ReplyDelete
  2. Bibie umenoga.. hiyo kitchen party... Thendofu itakuwaje...kadi nishaletewa yakheeee....

    ReplyDelete
  3. Hongera Sana Mahadia, mimi Anna Bubelwa

    ReplyDelete
  4. kweli Rama kisavuli umepata jiko si mchezo.bado fadiga sasa!

    ReplyDelete
  5. makondephoto.April 17, 2012

    Dada umenoga

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...