''Mama Lingalangala-Bibi Mungu"
Ni miaka mitatu sasa imepita tangu ulipotangulia mbele ya haki. hatupo nawe kimwili lakini kiroho tupo pamoja . Unakumbukwa sana na wanao Thobias, Kelvin, Paul, Joachim, Thomas Na Agatha ''Mbolile" Wajukuu na vituu vyako vyote, majirani, waumini wenzako, ndugu wote na marafiki zako. sisi tulikupenda sana lakini Mwenyezi Mungu alikupenda zaidi yetu.
Amen.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...