Marehemu Dada Grace Ngowi Simtaji

Leo tarehe 29/04/2012 unatimiza mwezi mmoja tangu mpenzi dada yetu ututoke na upumzike. Pamoja na  kwamba kimwili hatuko pamoja lakini kiroho bado tuko pamoja. Bado hatuamini kama haupo nasi na hata kusema hatuwezi.

Mwanao Emmanuel anakukumbuka  kwa yote ambayo ulimfundisha na yote yanamsaidia katika kipindi hiki kigumu. Sote tunakumbuka mapenzi yako, tabasamu lako na maneno uliyotuachia.

Unakumbukwa na Mwanao Emmanuel, wadogo zako Anna, Bahati, Kotto na Baraka. Mumewe Joseph ndugu na marafiki zako.

BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, 
JINA LA BWANA LISIFIWE
AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. grace,bado tumebaki tunashangaa, hatumuulizi mungu ila kibinadamu tunajiuliza why so soon?
    wenzako umetuachia emma hata hatujui tunamwambia nini.
    we miss you! we do miss you.
    till we meet again, rest friend, rest in peace. peace is what you knew.
    love you.

    ReplyDelete
  2. tutamkumbuka sana dada Grace wa yote ambayo alitutendea,alikuwa rafiki mkubwa wa dada yangu marehemu dada Dorica mwalimu wa Kisutu sec ya Dar,wakati ninaoa mwaka 2005 alitoa shela ili mke wangu avae kwenye harusi yetu,Mungu awape nguvu ndugu na jamaa ktk kipindi hiki kigumu cha majonzi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...