Mzee mzima Alex Ferguson anataka kurusha ngumi mambo yanapoenda kombo, Kocha wa Man City Roberto Mancini anamwambia acha kilomolomo babu....kama si kuamuliwa wangezipiga kavu kavu laivu.....Hahahaaa aibu!
 Company wa Manchester City anafurahia baada ya kuipiga Manchester United 1-0 uwanja wa Mataa usiku huu
Kilio kwa Man U. Poleni hahahaaaaaa....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2012

    ManCity safi sana kwa kuwakong'ota hao wanaojiita mashetani wekundu!Duu!!Kufungwa noma,cheki njemba inalia.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 01, 2012

    Unapokuwa unalia wakati unatembea ni vizuri kuangalia kule unakoelekea. Huyu anlia wakati akielekea chumba cha kuvalia cha Man-City hadi mwenzie anamkumbusha kuwa yeye ni Man-United. Ovyo!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 01, 2012

    Kila Kinyozi na yeye ana Kinyozi wake!

    Unaweza kuwa Dakitari wa meno ukiwang'oa wenzio meno hata Madakitari wengine na siku wewe Dakitari wa Meno ukiugua 'Mshipa' italazimika umwite Dakitari Bingwa wa Mishipa aje hapo hapo kwako ili ushushwe Mshipa wako kwa Upasuaji tena bila ganzi!

    MAN C-1::::::::::::MAN U-0

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 01, 2012

    Kinyozi hajinyoi jombaa!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 01, 2012

    "Get out of here, you let us down by failing to score even a single goal"
    Ha Ha Ha Haaaaaaaa.
    Kinyozi kanyolewa.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 01, 2012

    Panapofikia Mzazi kukunja ngumi ukitaka kupigana ni pale Bintio uliemlea kwa gharama kubwa amejazwa 'mimba' na Mapiga debe!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 01, 2012

    ManC nawapa Hi kwa kufanya lile ambalo ManU hawakutegemea- ingawa ndio mpira huo. Congrats ManC.Ichube

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 01, 2012

    Tehe! Tehe! Tehe!

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 01, 2012

    MTAJIJU KAMA HAMLIJUI JIJI WEE ACHA TU !1!!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 01, 2012

    1-0 sio kama wamesimama, huo ni pmambano mkali, kama wamesimama ni 5-0 n.k.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 02, 2012

    Kumbe kufungwa kuchungu eeeh!

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 02, 2012

    Sio mchezo kuanguka !

    Mtu analia hadi anasahau na kushindwa kuiona njia ya kwenda kwenye Kambi yake ya Man U!

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 02, 2012

    Rooney halii kufungwa, analia kwanini hajapewa penati leo kwani ana mkataba na marefa wa kupewa penati. Hahahahaha....

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 03, 2012

    Mu Italy mchezo?

    Hawa jamaa Ma Italiano wana asili ya 'Ubasha' mwangalie Mancini anavyomwangalia Fergie kwa dharau.

    Yaani kumfunga bao 1-0 anaona kama tayari 'ameshamchapa nao' wote wote kabisa kabisa !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...