Mkuu wa wilaya ya songea Roy Thomas Sabaya akitoa nasaha kwa vijana wanaojishughulisha na kuendesha pikipiki katika maeneo mbalimbali ya mjiji wa songea wakati wa mkutano kati ya vijana hao na mkuu wa mkoa wa Ruvuma Mh Said Mwambungu mjini Songea. Kushoto kwake ni amanda wa polisi wa mkoa huo Afande Michael Kamuhanda.
Mkuu wa mkoa wa ruvuma Said Mwambungu akizunguza jana na vijana zaidi ya 800 wanaoendesha pikpiki katika maeneo tofauti wilayani Songea katika mkutano wake na vijana hao uliofanyika katika ukumbi wa songea club mjin i songea,kulia ni meya wa manisopaa ya songea Charles Mhagama.
Baadhi ya vijana wanaoendesha pikipiki mjini songea wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu hayupo pichani jana, katika ukmbi wa songea club wakati wa mkutano kati ya vijana hao na mkuu huyo wa mkoa.
Katibu wa chama cha waendesgha pikipiki wilayani Songea akiongea |
kamanda wa polisi wa mkoa huo Afande Michael Kamuhanda akizungumza.
Mmoja wa wadau akitoa rai yake.
Picha zote na Muhidin Amri wa Globu ya Jamii, Songea
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...