Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na na Rais Mstaafu wa Brazil Mh Luis Inancio Lula da Silva mara baada ya mazungumzo yao alipokwenda kumjulia hali jijini Sao Paulo,nchini Brazil.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Rais Mstaafu wa Brazil Mh Luis Inancio Lula da Silva alipokwenda kumjulia hali jijini Sao Paulo jana. Kushoto ni balozi wa Tanzania nchini Brazil Mh Francis Malambugi na wa pili kushoto ni balozi wa Brazil nchini Tanzania Mh Francisco Carlos Luz.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Rais Mstaafu wa Brazil,Mh. Luis Inancio Lula da Silva baada ya mazungumzo yao alipokwenda kumjulia hali jijini Sao Paulo,nchini Brazil jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Rais Mstaafu wa Brazil Mh Luis Inancio Lula da Silva alipokwenda kumjulia hali jijini Sao Paulo,Brazil.PICHA NA IKULU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kumjulia hali? Kwa utajiri gani tulio nao wa kwenda Brazil kujulia watu hali. Watanzania wa kawaida hawana hata uwezo wa kwenda vijijini kuzika ndugu zao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...