Kamishna Ali Abadalla Malimussa kushoto akionesha kifaa kipya cha kuzimia moto kijulikanacho kama DSPA 5 kutoka kwa askari wa kikosi cha Zima moto na uokozi katika hafala ya uzinduzi wa kifaa hicho Maisara mjini Zanzibar
Mkurugenzi wa mtendaji wa Kampuni ya Your Solution Tanzania LTD Damian George kushoto akimkabidhi kivaa kipya DSPA 5 Naibu Waziri wa Miundo mbinu na Mawasiliano Zanzibar Issa Haji Gavu katika hafla ya uzinduzi wa kifaa hicho Maisara mjini Zanzibar
Bw Frans Volgelzangs ambaye ni mtaalamu wa Kampuni ya AFG inayozalisha kifaa kipya cha kuzimia moto ania ya DSPA5 akitoa maelezo jinsi ya kukitumia kifaa hicho. Picha zote na Iddi Haji-Maelezo Zanzibar
JINSI KIFAA HICHO KINAVYOFANYA KAZI
Nani atakuwa anakibeba? hao wazima moto? c ndo watachelewa kwa visingizio vingi? Au kitakuwa kinauzwa madukani kama bidhaa zingine?
ReplyDeletegood idea lakini hicho kifaa kinatumika mara ngapi kwa kila tukio na tutaweza kuvimudu au ndio mpaka misaaada!!!
ReplyDelete