Balozi  wetu Msumbiji  Mh Shamim Nyanduga ameanza kazi rasmi kwenye Ubalozi wetu hapa Msumbiji. Wafanyakazi walimpokea kwa shangwe na nderemo. Pichani Mhe.Balozi Shamim Nyanduga akikaribishwa Ubalozini na Maofisa Frank Mwega HOC, Col. M.Lwimbo,Adam Kinguti na Joyce MOshi
 Mhe. Balozi  Shamim Nyanduga akipokewa na wafanyakazi wa ubalozi jijini Maputo na nderemo.
 

Mhe. Balozi Shamim Nyanduga yuko tayari kuanza kazi rasmi Ofisini kwake

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 16, 2012

    Balozi Chuma...Mshallaah

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 16, 2012

    Kila la kheri mama,naimani utatuwakilisha vyema na utafuta maarisho ya Mola wetu ishallah

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 17, 2012

    Wafanyakazi wa balozo hiyo wamechoka tofauti na balozi nyingine, hizo suti sijui wamejishonea wenyewe

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 17, 2012

    Anafaa. Ni mchapakazi. Pongezi Shamim, Tom na watoto wenu wote.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...