Mjumbe wa Shirika la Huduma za Kisheria (Legal Services Facility) ambaye pia ni Balozi wa Denmark nchini Bw. Johhny Flentoe (katikati) akimweleza Waziri wa Katiba na Sheria Bw. Mathias Chikawe (kushoto) shughuli za shirika hilo alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar Es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika hilo Bi. Joaquine De Mello.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...