TAARIFA ILIYOIFIKIA GLOBU YA JAMII HIVI PUNDE TOKA VISIWANNI ZANZIBAR,INAELEZA KUWA KUNDI KUBWA LA WATU WANAOLIUNGANISHA KUNDI LIFAHAMIKALO KWA JINA LA UAMSHO,AMBALO LIMEKUWA LIKIUPIGA VITA MUUNGANO WA TANZANIA NA ZANZIBAR,LIMEVAMIA KITUO KIKUU CHA POLISI CHA MADEMA KISIWANI HUMO USIKU HUU NA KUSABABISHA VURUGU KUBWA,WAKITAKA KUACHILIWA KWA KIONGOZI WAO ALIEKAMATWA JIONI YA LEO KWA KUONGOZA MHADHARA BILA YA KUWA NA KIBALI CHA SERIKALI.
HALI HIYO IMESABABISHA VURUGU KUBWA KITUONI HAPO HUKU ASKARI POLISI WA KITUO HICHO WAKILAZIMIKA KUTUMIA MABOMU YA MACHOZI ILI KUWATAWANYA WATU HAO AMBAO WENGI WAO WAKO NA SILAHA ZA JADI AMBAZO NI MARUNGU,MAPANGA NA MAWE ILI KUPAMBANA NA ASKARI POLISI KITUONI HAPO.
GLOBU YA JAMII INAENDELEA KUFUATILIA TAARIFA HIZI KUPITIA RIPOTA WAKE ALIOPO VISIWANI HUMO,HIVYO TUVUTE SIBIRA KWA SASA.
mungu awajaliye kila salaam na kheri na baraka tele wazanzibari wote na inshallah inchi yetu tutaipata inshallah kwa mungu hakuna kubwa tumeshachoka kudanganywa na kuzulumiwa kama watoto yatina no no no more
ReplyDeleteAsiyetaka muungano atafute nchi nyingine akaishi.Hao ni wahuni,wachukuliwe hatua kali
ReplyDeleteDavid V
Inaskitisha kuona SMZ inayavumilia makundi ya namna hii.
ReplyDeleteNi kweli kuna uhuru wa kujieleza na kutoa maoni lkn. sio kama UWAMSHO wanavyofanya.
Serikali iwe makini, Al-shabab na Boko-kharam walianza hivi hivi, sasa hali imekuwa mbali mbaya!
Acheni upumbavu nyie ... dhulma yote hiyo inayofanyika bado munaona tuna deserve ... we deserve better. Uamsho niwaislam kama nyie wanao taka haki za wazanzibari kwa jumla ... na waislam karibia wote wakiwemo unguja , pemba , mtwara na baadhi ya mikoa wanawa support kwa kutetea haki za zanzibar
ReplyDeletewanaotaka muungano a.k.a muumizano.. nawatafute nchi nyengine.
stonec!
Watanganyika mambo ya Zanzibar hayawahusu wacheni kuongea longo longo kama hamutaki kuwa support Wa Zanzibari kupata uhuru basi bora mukae kimya hayawahusu,
ReplyDeletePAMBANA NA MAFISADI UPATE HAKI YAKO NA UTAIFA WAKO WA KITANGANYIKA
Ahsate sana,jibu ulowapa nzuri sio matusi ni ukweli umewambia juu ya haki ya znz
DeleteAsotaka kufahamu basi abaki na choki zake binafsi juu ya uhuru wa weziwe.mbona wao hawaunngani wakawa kabila moja wote.
Munatuletea mawazo ya kijandawazimu tukubali kufuta urai wetu na mutupatie kabila mutujulishe tutakuwa kabila gani tujuwe la kuchaguwa.
Vunja huo Muungano, kama hawataki kwanini tuwang`ang`anize? tuvunje muungano, potelea mbali, DWLLWGAF? certainly no.
ReplyDeleteMtanganyika
Mtoto akililia wembe mpatie..wazanzibara naona sasa waacheni hao wazanzibari watoke zao, lakini hawatoishia hapo huo ubanguzi wao, na pale watakapoa anza kujitafuna kikamilifu hakuna kuwapokea wale watakaokimbilia kutafuta hifadhi kwa wazanzibara.
ReplyDeleteSioni kwanini wanakumbatiwa kiasi hicho..
Mtoto akililia wembe mpatie..wazanzibara naona sasa waacheni hao wazanzibari watoke zao, lakini hawatoishia hapo huo ubanguzi wao, na pale watakapoa anza kujitafuna kikamilifu hakuna kuwapokea wale watakaokimbilia kutafuta hifadhi kwa wazanzibara.
ReplyDeleteSioni kwanini wanakumbatiwa kiasi hicho..
Muungano umeshavunjwa na marekebisho ya katiba ya znz.lakini Mh Kikwete hataki kuweka sahihi,analeta ujanja wa katiba mpya
ReplyDeleteSisi na watanganyika nani wabaguzi zaidi ? Zanzibar wameweza kuunda serikali ya pamoja.bila hata mataifa ya nje kuwapo.
ReplyDeleteJaribuni kama mutaweza hilo lakuwa na serikali ya pamoja.kama hamuto chinjana kila siku munapigana visu kwa ardhi.
Wadau mtatusamehe kwani quality imepunguzwa saaaaaana ili tuweze ku i upload online. Kuhusu habari kwamba movie yetu ni ya kichawi kama za Nigeria mbona hili sio swala jipya kwa filamu za Tanzania? Halafu filamu yetu sio ya kichawi bali inaeleea habari za kale na sio habari ndani ya magorofa na majumba ya starehe (modernity)
ReplyDeleteMleta habari anasema waandamanaji wamechukuwa silaha za kienyeji.Hili litawapa Polisi kutumiya nguvu za ziada.Ukweli waandamanaji walikuwa na nidhamu ya hali ya juu na kama kawaida polisi wanawapiga mabomu ya machozi.
ReplyDeleteWazanzibari wanahaki kupewa fursa ya kupiga kura , kuamuwa kama wanautaka Muungano au la .Rais kikwete kafanya kosa kubwa kuwazuwiya watu wasiujadili Muungano.Vipi utazungumziya katiba mpya bila kuuzungumza Muungano.Hata watu wa Tanzania bara wanayohaki kuchaguwa kama wanautaka au laa.
Mwalimu Nyerere, katamka kwamba ikiwa Wanzanzibari wataamuwa kuukataa Muungano hatowapiga mabomu, Raisi Kikwete asiwe na kigugumizi juu ya suala hili.Wazanzibari wametoka woga kusema juu ya Muungano, wakati ndio huu watanzania tubadilike.
Mtanzania Ughaibuni
wazanzibari wananini? hata wakataka waachiwe nchi hizo karafuu za kuchuma mojamoja zitalisha wangapi? kazi hawawezi wamebaki majungu tu wanadanganywa na nchi za kiarabu mnafikiri mkijitenga watawasaidia? hapo mlipo mnabaguana hali hii ni wapemba na wa unguja je mkiwakaribisha warabu si ndio kwanza mta malizana. mungu awasaidie awafungue macho na akili mpate kuwaelimisha watoto wenu sio kukaa hapo mnarogana tu.
ReplyDeletehuu ni muungano wa tanzania na zanzibar, au wa tanganyika na zanzibar?
ReplyDeleteNyie watanganyika acheni ujinga huo, hebu tuachieni tupumue tena
wamesahau kama kuna unguja na pemba,Nje ya muungano hakuna Zanzibar.
ReplyDeletehawa wahuni wanatumia mwanvuli wa dini,hawa jui hata muungano maana yake nini? Mipaka ya unguja na pemba ni wapi na ipi? wasome kwanza History au warudi kwa wagerman watapewa siri hiyo Nzito.
ReplyDeleteHivi wanzazibar wanadhani wao wananini zaidi kuwazidi bara? wadhani bara inawaibia hivi ni nini cha kuiba zenji? hawana ardhi, wamekataakusoma kazi kupiga umbea tu, karafuu na magofu vitawapleka wapi znz? acheni ujinga muungano ni manufaa ya zenji coz bara hamna hata kitu kimoja mnachoongeza. Ngoja muachiwe afu muone.
ReplyDeleteWala msiumizane Zanzibar yenu mtaipata. Hata sisi hatuwahitaji. Tulifikiri umoja ni nguvu lakini kama mnataka kusimama peke yenu ruksa. Ni haki yenu.
ReplyDeleteMie naona wa wapewe nchi yao, wawatoe wachaga wote wanaowapelekwa vitimoto, pombe na mikwaya yao hio, kila kitu kuombea taifa kumbe wanataka kueneza ukristo zanzibar kama walivyoharibu Tanganyika, msikubali wafukuzilieni bali.
ReplyDeleteKisha na huku wapewe Tanganyka yao ya kaskazini.
"Vunja huo muungano, kwanini tuwang'ang'anize" Mwenzetu vipi, unaziona lkn. gharama wanazolipa kenya kwa kuwa jirani na Somalia?
ReplyDeleteTuonee huruma mkuu... tuna matataizo mengi, kupambana na ugaidi hatutaweza! US na EU, maji ya shingo!
Tupo karibu sana kijografia na pia ni vigumu kumtofautisha mtu kama wa mafia, lindi mtwara tanga na hata tabora na hawa jamaa.
Ngoma ikidata hii UWAMSHO watatawala Z'bar na hawa hawana tofauti na alshababu au alkaida.
hivi mkishavunja huo muungano,wale ndugu zenu wa kariakoo dar s salaam wataenda wapi na maduka yao?mana huwezi kufanya biashara kwenye nchi ya wengine hadi ufate taratibu za uhamiaji,wataweza.au mnajifanya jicho pembe mnaona nusu mengine hamuyaoni?
ReplyDeletekweli mtoto akililia wembe mpe,nina rafiki yangu huku UK kaniambia kanunua majumba kigamboni,kwani dar es salaam kwao?ana haki gani ya kununua nyumba kwenye nchi za watu wkt ww ni migrant.kazi kwenu wazanzibar
Waacheni Wazanzibari na Zanzibar yao. Hapa sio kulilia wembe ila ni uhuru uliomezwa nusu karne.
ReplyDeleteUhuru wa Zanzibar utapatikana lazima mkitaka msitake, mkipenda msipende na hata kama mkikejeli kwaa vijembe vichafu na uchochezi.
Muungano ulianza kuvunjwa na Serikali ya Tanganyika kwa kuifanya katiba ndio sheria mama ya muungano na ndipo walipoengeza mambo kutoka 11 mpaka kinehe.
Zanzibar Moja, watu wake ni wamoja
Mchangiaji no. 2, Dacid V, kwani wewe uliambiwa kuungana ni 'lazima'?! Acha kufikiri kwa kutumia pua wewe. Tumia kichwa/ubongo!
ReplyDeleteNa mara hii hamtoweza kutugawa tena kama alivyotugawa 'baba yenu wa taifa' na sera zake za 'kusadikika'. Hapa tunataka zanzibar yetu tu, na nyinyi kaeni na tanganyika yenu.
'You can fool some people sometimes, but you can't fool all the people all the time'>
Ama kweli ukitaka kumuua mbwa,mpe jina baya kwanza! Yaani wazanzibari wanadai haki yao, basi kuna washenzi wengine wameanza kuhusisha 'movement' hiyo na udini. Wanasahau kwamba wanaotaka mvurugano(muungano) uvunjike ni wazanzibari,ambao coincidently imetokea kuwa wengi wao ni waislamu. Hebu jaribuni kutofutisha baina ya tui na maziwa, nyie 'vizigo'!
ReplyDeleteHalafu wasiokuwa waislamu ndo wamezoea kutupachika majina mabaya sisi (wazanzibari)ili tusite kupigania haki zetu. Lakini this time mtachina. Mpaka kieleweke. Choka kutawaliwa na Tanganyika.
Na inaonekana pia, kuna wachangiaji hawajui historia ya Zanzibar vizuri. Kwa taarifa yenu kabla ya mvurugano (muungano) huu, Zanzibar ilikuwa na uchumi mzuri na ilikuwa imeendelea zaidi ya Tanganyika. Saivi mmeshatutawala, tumekuwa masikini wa kutupwa.
Na wewe mchangiaji unaeleta siasa za nyerere hapa, ujue zimeshapitwa na wakati! Mpaka kiti chetu cha UN mmekiiba nyie!
Tuwacheni tupumuweeeeee....!!
Basi kama ndiyo hivyo, dhambi hii na iwatafune tu wanaojitenga. Ee, wapate uhuru wa kutawanyika na kuvurugana kama watakavyo. Kama huvumilii watatu, sioni vipi utamvumilia hata mmoja. Jijue wewe ni mkorofi, na mkorofi lake ni upweke.
ReplyDeleteAnd we claim to be ' Nchi ya Amani na Utulivu'! Watanzania wabara na visiwani ' UNAFiKi na UZANDZIKI' utatumaliza!
ReplyDeleteWanzibari acheni akili potofu mnashawishiwa na wasokuwa na akili timamu na ni ubaguzi leo muungano ukivunjwa mtakulana nyama wenyewe kwa wenyewe mtaanza kubaguana kama somali na wale ndugu zenu wa kariakoo na ilala mnafikiri watarudi kusikiliza ujinga kwa wasio na elimu kamili kufanya kazi hamfanyi kukaa vibarazani hata hao mamwinyi walikuwa wanajituma acheni akili potofu tafuteni cha kufanya nci sio yenu wajinga nyinyi mlikuta kalakabho na ubwezo wenu poleni
ReplyDeleteMWALIMU ALISEMA KWELI; kuna Waunguja na wapemba, Wazanzibari na Wazanzibara .
ReplyDeleteUnayetetea kujitenga upo ktk kundi gani kati ya hayo manne ???
Ata sisi watanganyika wa kweli tunataka muungano uvunjike
ReplyDeleteWazanzibari! Who has the right to Zanzibar??? So those with Omani descendants and Iranian blood along with Yemeni blood have the rights or ???? I think we are heading to some ethnic cleansing if we are not careful! First the common enemy is Bara or watanganyika, break off the union. Next in line is Pemba vs Unguja, kicked off wapemba from Zanzibar. Later original Zanzibaris and those with mix blood. Smells like another revolution. Frankly being a Tanganyika I can't give a hoot about this small island and I am surprise why they think the majority of Watanganyika really care about them. All those radical movements under the umbrella of Uhamsho will raise their true head soon. Sharia law etc will come in place and I can foresee immigration issue heading towards Bara. Who are we kidding here, let them have their union less headache for us! They depend more on Tourism and Karafuu, well with radical groups like that soon tourism will disappear. The sad part is that there a people in the background with relatives in the Middle East thinking that the island will be turn into Arab paradise. Think again. Good luck wanzibari and I guess it time we start looking at those denying the rights of Watanganyika in Tanganyika soon. Or maybe we are much smart than that!
ReplyDeleteMtanganyika who does not know where is Zanzibar and who is Zanzibari!!
Hi!Natafuta mke awe anatoka Pemba ama Unguja mwenye umbile la kuvutia na rangi ya kimanga.Awe tayari kuish Shinyanga, Asiwe na siasa za CUF na CCM ambazo ni zakinafiki, ila awe na msimamo wa MUAMSHO kimaadili . mshahara wangu kwa mwaka ni tsh 45,025,000/=.
ReplyDeleteMchangiaji wa mwisho hapo wewe unaona kuwa na kiti UN ni dili unajua maana ya UN na the real purpose ya UN au unaona kwa nje tu. Kile ni chombo cha nchi Tajiri kutetea interest za corporations zao. wewe Ukiwa na kiti UN utafaidi nini?. Umeona Syria japo ni member?
ReplyDeleteWaacheni wajitenge tuanze ku-export umeme na vyakula, Tanesco ipate hela ya kununua mitambo zaidi tumalize tatizo la umeme.
ReplyDeletekukosa elimu jambo baya sana ,poleni sana uvivu wenu wakazi na kuwakumbatia waarabu wa muscat ,na tende zao zitawapeleka wapi ,bora mjitenge muuanze kuchinjana vizuri
ReplyDeleteNyie watanganyika mbona munaongea vitu kama mbumbumbu, mnamtisha nani nyie wsws wenu ni kuwa sisi mkituachia tutaendelea. Malaysia waliwambia maneno ya kijinga kama hayo mnayosema nyinyi waliwambia mutakufa kwani hata maji ya kunywa walikuwa wanaitegemea malaysia, hebu angalieni wako wapi singapore, Sisi wazanzibari hatutowategemea hata kiberiti. Tuacheni tupumuwe na wele wake kikwete tunaomba umuenzi Mwalimu Nyerere kwani alisema wazanzibari wakitaka nchi yao sitowapiga mabomu. eweje wewe unaanza kutuuwa
ReplyDeletealuta kantinua
Hahahaha eti tuwaache mpumue, hivi nyie zanzibar mnanini hasa mpaka tuwang'ang'anie?? Elimu hamna, madini hamna, wanyama pori hamna, ardhi hamna, umeme hamna, akili hamna kutwa kuchwa vijiweni kunywa kawaha, na vijana kibao wamekosa mwelekeo wamebaki kula unga na kuoana. kwendeni zenu
ReplyDeletetime will tell...none senc 4 me..this is only benefit for politicians...waznz, hakuna kitakachobadilika hata mkijitenga..pia kumbukeni kuwa umoja na ni guvu..nadhani wengi wao hawajui wnachokitaka hasa..wapo wenye hoja na ambao wako tayari kuzijadili lakn wengi wao hawataki muungano lakn hawana hoja...wanadai kudhulumiwa, unadhulumiwa nini?.kitu cha un kina faida gani kwake hajui ila anakitaka...wameshiba mapembe hawa,,risasi hazijalia siku nyingi..subirirni
ReplyDeletetime will tell...none senc 4 me..this is only benefit for politicians...waznz, hakuna kitakachobadilika hata mkijitenga..pia kumbukeni kuwa umoja na ni guvu..nadhani wengi wao hawajui wnachokitaka hasa..wapo wenye hoja na ambao wako tayari kuzijadili lakn wengi wao hawataki muungano lakn hawana hoja...wanadai kudhulumiwa, unadhulumiwa nini?.kitu cha un kina faida gani kwake hajui ila anakitaka...wameshiba mapembe hawa,,risasi hazijalia siku nyingi..subirirni
ReplyDeleteTena wafanye wagunge virago waondoke hagutaki kuwaona kianzia kkoo,ilala,mpaka magomeni fanyeni muondoke wala urojo nyie mmelegea kama mlenda.
ReplyDeletejamani si waache tu na zanzibar yao!
ReplyDelete