Mshambuliaji wa Timu ya Taifa Stars,Haruna Moshi "Boban" akiwachachafya mabeki wa timu ya Malawi katika mchezo wa kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Kipindi cha kwanza cha mchezo huu kimemalizika huku timu zote mbili zikitoka bila kufungana.
Haruna Moshi akionyesha makeke yake langoni mwa timu ya Malawi katika mchezo wa kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Kipindi cha kwanza cha mchezo huu kimemalizika huku timu zote mbili zikitoka bila kufungana.
Hatari langoni mwa timu ya Malawi.........
Mchambuliaji wa Timu ya Taifa,Mbwana Samatta akijaribu kumtoka Beki wa Timu ya Malawi,Limbikani Mzava katika mchezo wa kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Kipindi cha kwanza cha mchezo huu kimemalizika huku timu zote mbili zikitoka bila kufungana.
Wachezaji wa Timu ya Taifa wakitoka uwanja baada ya kumalizika kwa dakika 45 za mchezo huo.







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...