Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda amefunga rasmi semina elekezi ya siku mbili kwa wabunge wapya wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki na kuwataka wabunge hao wakazingatie maslahi ya Taifa katika Bunge hilo. Pichani Mhe. makinda akisisitiza jambo wakati wa hotuba yake ya kufunga semina hiyo jana jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkabidhi hadidu za rejea Mwenyekiti wa wabunge wapya wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Adam Kimbisa mara baada ya kufunga rasmi semina hiyo jana jijini Dar es salaam. Picha na Owen Mwandumbya.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...