Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Consolata Adam (alieinama katikati) akipanda Mti katika Eneo la Campas ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA),Mazimbu Mkoani Morogoro mapema leo asubuhi wakati wa zoezi la Upandaji Miti katika eneo hilo ikiwa ni Muendelezo wa kauli ya Serikali ya kutaka kuyatunza Mazingira.Wengine pichani ni Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo hicho pamoja na Wawakilizi wa TBL Mkoani Morogoro.
Katibu Kiongozi wa Mazingira wa Campas ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA),Mzee Torokoko akipanda Mti katika Eneo la Chuo hicho mapema leo asubuhi.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wakishirikiana na Maafisa wa TBL mkoa wa Morogoro kupanda miti mbali mbali kwenye eneo hilo.
Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Consolata Adam (kulia) akisaidiana kupanda mti na Wasimamizi wa Vituo vya Mauzo vya Jumla mikoa ya Morogoro na Dodooma,Mohamed Mbiku (kushoto) na James Gomile (pili kushoto) pamoja na Mwanafuzi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA),Patrick Fulanomponi.
Baada ya kumaliza kupanda miti.
Picha ya Pamoja na Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) walioshiriki kikamilifu zoezi la upandaji miti katika eneo la Chuo hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tehe!

    Kaka, mshauri Consolata apunguze kunywa hizo Grand Malt

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...