Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2012

    hongereni saaaaaan wana wa darajani, kweli mnastahili pongezi nyingi hasa kwanza kwa kuwapa kibano barca na hao bayern ambao walijua kombe ni lao aluuuu umdhaniaye ndiye siye! hongerni tena na tena...... he he heee mlatie wa rg kama nakuona.
    mdau wa ukwee man u !

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 20, 2012

    Murphy's law-If something is going to happen no matter what, it will happen'only delay for it to happen can occur

    MALISA K.J.(BG)
    !!HONGERA THE BLUES!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 20, 2012

    vijana walibanwa lakini kwa sala zetu pamoja kama Prophet T.B Joshua alivyotushauri last sunday zimefanya kazi. Alisema game itakuwa ngumu ushindi utapatikana kwa penalt but we have to pray all na hasa wachezaji

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...