Lori lenye tank lenye gesi likiwa limeanguka na kufunga barabara,nje kidogo ya mji wa Mwanga mkoani Kilimanjaro.chanzo kuanguka kwa lori hilo hakijajulikana.
Wahusika wa Gari hilo wakiwa wamekaa wakitafakari namna ya kuweza kuihamisha gesi hilo kwenye gari nyingine kama walivyokuwa na mpiga picha wa Globu ya Jamii,mchana wa leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...